Friday, January 25, 2019

Njia zipi zinaweza kumletea mwanamke mshindo (kileleni) haraka?

Njia zipi zinaweza kumletea mwanamke mshindo (kileleni) haraka?
Jambo la msingi kabisa ni kwamba wote wawili kuwa tayari kwa kujamii ana. Yaani kupendana na kujaliana sana, halafu kuwa tayari kwa tendo hilo kimwili, kimawazo na kiakili. Kutokuwa tayari kwa kufanya mapenzi, kwa mfano kwa sababu ya kuogopa ujauzito, inamzuia mtu yeyote kufikia mshindo.

Isikupitie hii: Fahamu vigezo 6 muhimu vya kuzuia "Usikojoe" mapema - Wanaume.

Kama wote wawili mpo tayari, kufikia mshindo au kutofikia kunategemea maandalizi ya awali ya mapenzi.

Mnatakiwa kukubaliana jinsi mtakavyofanya mapenzi ili kila mmoja wenu aweze kufurahia na kuridhika. Kwa uhakika, kila mwanamke na mwanaume anazo sehemu maalumu ambazo ukigusa basi ni rahisi sana kufikia mshindo.

Isikupitie hii: Dalili kuu 2 za mwanamke anapokaribia kufika kileleni

Upeo wa hali ya kujamiiana pia unaweza kufikia kwa kupiga punyeto. Kwa mfano, mwanaume anaweza kugusa uume wake au mwanamke anaweza kusugua taratibu kinembe mpaka anafikia mshindo. Kupiga punyeto ni njia iliyo salama ya kumaliza hamu ya kutaka kufanya mapenzi na haina athari mbaya kiafya.

Isikupite hii: Shida zinazo wapata wanawake wenye makalio makubwa kwenye mapenzi