Saturday, May 9, 2020

Kitakachompata mwanamke endapo akiacha kufanya mapenzi

Kitakachompata mwanamke endapo akiacha kufanya mapenzi

Yawezekana huna mpenzi au labda huna muda wa kutafuta mwenza, utakapoona mabadiliko haya mwilini mwako basi inabidi ufikirie kuanza kale kamchezo ketu. Haya ni mabadiliko yanayoweza kutokea mwilini mwako utakapoacha kufanya mapenzi, na si mabadiliko mazuri kama namba hili la kwanza katika mabadiliko haya:

1. Unaweza kupata ndoto nyevu
Kama inavyomtokea mtoto wa kiume aliye kwenye balehe, wanawake wasiofanya mapenzi mara kwa mara, watajikuta wakipata ndoto nyevu wakiwa usingizini.hii itakutokeasio tu kwa kutokufanya mapenzi mara kwa mara bali hata unapoacha kupiga punyeto.