Tuesday, May 12, 2020

Vigezo 6 muhimu vya kuzuia USIKOJOE mapema – Wanaume


Sababu ya tatizo hili huweza kuwa ya Kibaiolojia na Kiakili. Kama wewe pia ni moja yao na unapenda kujua jinsi ya zuia hali hii.

1. Jenga tabia ya kufanya mazoezi ya mwili: 
Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa mzunguko mzuri wa damu. Kama una mwili wenye afya basi inaweza kukusaidia kwa namna ya kifikra ambazo huchangia kwenye swala zima la kuwahi kupizi. Hii hutokana na hutokana na kuongeza kujiamini na kujihusudu.

BOFYA HAPA KUENDELEA KUSOMA Vigezo 6 muhimu vya kuzuia USIKOJOE mapema – Wanaume