Monday, December 16, 2019

Wewe mwanadada ikiwa unataka kuolewa haraka fanya yafuatayo

Wadada wengi wa Mjini Wengi wamekuwa na dhana kuwa ukionyesha maungo ya mwili kwa kuvaa vinguo vifupi basi wataolewa haraka lakini kumbe wanajidanganya na kuishiwa kumegwa na kutupwa kule Mie nawaambia Hivi Ukitaka kupata mchumba wa maana basi fanya yafuatayo:

Isikupite Hii: Tambua ukubwa wa UKE au UUME wa mtu yoyote kwa kumtazama tu.

Vaa nguo ndefu kuvuka magoti, zisiwe transparent, kifua kisiwe wazi, viatu flat, kucha na kichwa visiwe na manjonjo mengi, usiwe mwongeaji ovyo, epuka unywaji pombe, unnecessary outing, ukali usio wa lazima, nidhamu kwa wote, upole, bila kusahau usafi na ibada.

Ukiyafanya hayo yote hata kama umejificha uvunguni utaonekana tu! Bisha!