1) Sina mtaji
2) Sina Connection
3) Nitaanza rasmi kesho
4) Mimi ni wa hivihivi tu
5) Mifumo mibovu ya Serikali ndiyo inayonirudisha nyuma
6) Mke/mme/ndugu zangu Ndiyo walioniangusha/kunitenda/kikwazo
7) Kupata ni majaliwa
8) Usilazimishe mambo
9) Kuna watu special siyo mimi.
10) Sina bahati
Sunday, December 8, 2019
Kauli 10 za mtu ambaye unatakiwa umuepuke maishani
<<<<
New audio: ChindoMan Ft Rayvanny - Mama Lao | mp3 Download
>>>>
Babe anatakiwa awe mshamba kidogo kama hivi.
Makosa yanayowakwamisha watu wengi kufanikiwaDec 28, 2019
Mizigo tuliyoibeba ambayo haina faidaDec 09, 2019
category
MAFANIKIO